Jifunze Spreadsheet Katika Excel – Msingi wa Ufanisi
📘 Vipengele Muhimu vya Spreadsheet
1️⃣ Cells
Kila block ndogo kwenye spreadsheet ni cell.
Formula inaweza kuingizwa kwenye cell ili kufanya mahesabu.
2️⃣ Rows na Columns
Rows: Safu za mlalo (1, 2, 3…)
Columns: Safu za wima (A, B, C…)
3️⃣ Cell Referencing
Relative Reference: =A1+B1 → Inabadilika unapokopa formula.
Absolute Reference: =$A$1+B1 → Reference ya A1 haibadiliki.
Mixed Reference: =$A1+B$1 → Mchanganyiko wa relative na absolute.
🧩 Mfano wa Formula Kwenye Spreadsheet
SUM: Jumlisha values
=SUM(B2:B10)
AVERAGE: Pata wastani
=AVERAGE(C2:C10)
VLOOKUP: Tafuta data kwa kulinganisha value
=VLOOKUP(G2,Sheet2!$A$2:$B$6,2,FALSE)
IF: Fanya maamuzi
=IF(A2>50,"Pass","Fail")
🔗 Links Za Kujifunza Zaidi
🌐 Faulink Official Website:
https://www.faulink.com/
📘 Excel Mifumo – Ready to Use:
https://www.faulink.com/excel_mifumo.php
📲 Piga / WhatsApp kwa msaada wa haraka:
https://wa.me/255693118509