Jifunze Excel SEQUENCE(): Unda Numbers au Array Kiotomatiki
1. SEQUENCE() Function
SEQUENCE() inarudisha array ya numbers kwenye Excel. Ni muhimu kwa dynamic numbering, tables, dashboards, na automation.
Syntax:
SEQUENCE(rows, [columns], [start], [step])
rows = idadi ya rows unayotaka
columns (optional) = idadi ya columns unayotaka (default = 1)
start (optional) = number ya kuanzia (default = 1)
step (optional) = increment au step kwa number (default = 1)
2. Mfano Rahisi
Mfano 1: Unda list ya numbers 1–5
Formula:
=SEQUENCE(5)
Result:
1
2
3
4
5
Hii inarudisha vertical list ya numbers kutoka 1 hadi 5.
3. SEQUENCE kwa Rows na Columns
Mfano 2: Unda 3x3 table ya numbers
Formula:
=SEQUENCE(3,3)
Result:
1 2 3
4 5 6
7 8 9
Hii inarudisha numbers arranged horizontally na vertically.
4. SEQUENCE Pamoja na Start na Step
Mfano 3: Unda numbers kuanzia 10, step 5
=SEQUENCE(5,1,10,5)
Result:
10
15
20
25
30
Numbers zinaanza kwa 10, kila step ni 5.
5. SEQUENCE Pamoja na Formulas nyingine
SEQUENCE inaweza kuunganishwa na FILTER(), UNIQUE(), SORT(), ROWS(), COLUMNS(), SUBSTITUTE() kuunda:
Dynamic serial numbers
Dynamic tables
Automated dashboards
Mfano: Serial numbers kwa filtered list
=SEQUENCE(ROWS(FILTER(A2:A10,B2:B10="Available")))
Hii inarudisha serial numbers kwa kila item iliyochujwa kiotomatiki.
6. Tips Muhimu
SEQUENCE() ni nguvu sana kwa automation ya Excel.
Inaweza kuunganishwa na formulas nyingine ili kuunda dynamic numbering, tables, na dashboards.
Inarahisisha list generation, table numbering, na calculations zinazobadilika.
Links Muhimu
Tazama tutorials zaidi za Excel: https://www.faulink.com
Download mifumo ya Excel bure: https://www.faulink.com/excel_mifumo.php
Msaada wa WhatsApp: https://wa.me/255693118509