🛡️ HATUA RAHISI ZA KUWEKA CLOUDFLARE WAF
Nenda kwenye https://dash.cloudflare.com
Bonyeza “Sign Up” na andika email yako + password uipendayo
Utaingia kwenye dashboard ya Cloudflare
âś… 2. Ongeza Tovuti Yako
Bonyeza kitufe “Add a Site”
Andika: faulink.com (bila www au https)
Bonyeza Next
âś… 3. Chagua Mpango (Plan)
Chagua mpango wa Free (Bure) unatosha kwa sasa
Bonyeza Continue
âś… 4. Cloudflare Itakuletea DNS Records
Usibadilishe chochote hapa – bonyeza tu Continue
âś… 5. Badilisha DNS (Nameservers)
Cloudflare itakuambia ubadilishe nameservers kwenye sehemu unaponunua domain (mfano: Hostinger, GoDaddy, Namecheap).
Mfano:
Cloudflare itakuambia:
Badilisha kutoka:
ns1.hostinger.com
ns2.hostinger.com
Kwenda kwenye:
amy.ns.cloudflare.com
john.ns.cloudflare.com
Nenda:
Fungua akaunti yako ya domain provider
Ingia kwenye domain yako faulink.com
Tafuta sehemu ya Nameservers
Bandika hizo mpya kutoka Cloudflare
Hifadhi (save)
⏳ 6. Subiri Saa 1 – 24 Domain Ihamie Cloudflare
Cloudflare itakutumia email au itaonesha “Active” kwenye dashboard. Ukiona "Active", tovuti yako iko salama kupitia Cloudflare.
âś… 7. Washa WAF (Firewall)
Ingia Cloudflare
Bonyeza tovuti yako (faulink.com)
Nenda menu ya kushoto: Security → WAF
Bonyeza “Enable WAF” (ikiwa haijawashwa tayari)
Umeshafanya! Huu ndio ulinzi mkuu.
đź§± ZAIDI: ONGEZA ULINZI RAHISI ZAIDI
➕ 1. Nenda kwenye Security → Bots
Washa chaguo: âś… Bot Fight Mode
Inazuia bots wabaya (spam bots)
➕ 2. Nenda Speed → Optimization
Weka âś… Auto Minify (HTML, CSS, JS)
Inafanya tovuti iwe haraka (bonus)
đź§Ş 3. Angalia Taarifa za Mashambulizi
Nenda: Security → Events
Hapa utaona ni mashambulizi gani yamezuiliwa